SERIKALI YA SYRIA INATUMIA MABAVU
Rais wa misri ,mohammed morsi, ameikashifu
serikali ya Syria
Na kusema kuwa inatumia mabavu.
Rais morsi aliyesema hayo katika hotuba yake
nchini lran ambayo
Ni mshirika mkubwa wa Syria.
Morsi alisema kuwa ni wajubu wa kila mtu kuunga
mkono upinzani
Nchini Syria ili uungane dhidi ya kile
alichokitaja kama utawala wa
Kimabavu.
0 maoni:
Post a Comment