MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
QPR KUMSAJILI CARVALHO KWA MKOPO
Mchezaji wa Queens Rangers imeingia mkataba na klabu ya
Real madrrid ambao utamruhusu mchezaji Riicardo Carvalho
Kwa mkopo msimu huu.
Mchezaji huyo mwenye umri wa 34, na mchezaji  kiungo wa
Zamani wa timu ya taifa ya ureno, anatarajiowa kujadiliana  na
Klabu hiyo kuhusu malipo yake katika muda wa saa 48 zijazo.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment