AL-SHABAAB WAANZA KUTOROKA KISMAYO.
wenyeji mjini Kismayo nchini Somalia, wapiganaji wa Al shabaab wameanza kuondoka katika ngome yao ya mwisho ya KISMAYO.
Kismayo ndiyo ngome kubwa na ya mwisho ya kundi hilo linalopigana na jeshi la Somalia ambalo limekuwa likiuzigira mji huo kwa usaidizi wa jeshi la AU.
Wenyeji wamesema kuwa wapiganaji hao wamekuwa wakitoroka mji huo kwa mabasi huku wakibeba silaha nzito.
lakini Al shabaab wamekana taarifa hiyo wakisema kuwa wameweza kuwashinda nguvu wanajeshi wa AU.
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 maoni:
Post a Comment