ASHATAKIWA KWA KUKOSOA SERIKALI BURMA.
Mchapishaji na mhariri wa gazeti moja binafsi nchini
Burma amefunguliwa mashtaka ya kuidhalilisha serikali
baada ya kuchapisha habari zinazofichua tuhuma za rushwa
katika serikali ya nchi hiyo.
Wizara ya madini ya Barma imechukua hatua hiyo baada ya
Gazeti hilo la The Voice Weekly kuandika shutuma za ukiukwaji
katika masuala ya taratibu za fedha mapema mwaka huu.
Hivi karibuni serikali ya kijeshi ya nchi hiyo imekuwa ikijaribu
kulegeza vikwazo vya vyombo vya Habari ambavyo vinaonekana
kuwa nimiongono mwa vyombo vya habari vinavyokandamizwa sana
duniani.
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)
0 maoni:
Post a Comment