MSANI MUINGEREZA AMEPEWA DHAMANA.
NCHINI UGANDA.
msanii muingereza David Cecil Aliyekamatwa nchini Uganda ameachiliwa kwa dhamana, Cecil alizuiliwa kwa kutunga mchezo wa kuigiza kuusu maisha ya wapenzi wa jinsia moja nchini Uganda.
alikamatwa kwa kukaidi sheria za nchi kwa sababu mchezo huo wa kuigiza kwa jina la The River and Mountain, ulichezwa bila idhini.
Bwana Cecil anaweza kufungwa miaka miwili gerezani ikiwa atapatikana na hatia.
Bunge la uganda linajadili kutunga sheria ambayo italenga kudhibiti maswala yoyote kuusiana na mapenzi ya jinsia moja.
MWERA AMAZING BLOG
- Blogger Comment
Subscribe to:
Post Comments
(
Atom
)

0 maoni:
Post a Comment