MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
TFDA YATAKA WATUMISHI ZAIDI.mamlaka ya chakula na dawa [TFDA] imemuomba waziri wa Afya na ustawi wa jamii Dk, Hussein mwinyi kuiongezea idadi ya watumishi kwa kuwa waliopo sasa hawatoshi.
wito huo umetolewa jijini Dar es salaam na mkurugenzi mtendaji wa mamlaka hiyo hadi sasa inao watumishi 185 wakati mpango kazi wa TFDA unaeleza kuna watumishi 354,
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment