MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
WAUWAJI WA BALOZI WAKAMATWA LIBYA.

mkuu wa bunge la libya anasema kuwa watu kama 50 wamekamatwa kwa kuusika na mauaji ya balozi wa Marekani mjini Benghazi ma lilopita .
Mohaed Megaryef, kiongozi wa bunge, alisema hakuna shaka kuwa shambulio hilo lilikuwa limepangwa na siyo tu lakulipiza kisasi kwa filamu ya marekani iliyokejeli Uisilamu.
akizungumza na shilika la habari la Canada CBS ,Bwana Megaryef alisema anaamini wageni wenye uhusiano na AL-Qaeda waliohusika.
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment