MWERA AMAZING BLOG

MWERA AMAZING BLOG
RAIS WA SOMALIA ATAWAZWA.

Rais mpya wa somalia, Hassan Sheikh Mohamud,
ametawazwa rasmi kwenye sherehe iliyofanywa mjini
Mogadishu.
kiogozi huyo mpya ambaye alinusurika na jaribio la
kumuuwa siku ya jumatano, alisema mambo muhimu
kwake ni usalama na mapatano.
viongozi kadha wa kanda walihudhuria sherehe hiyo
pamoja na waziri mkuu mpya wa Ethiopia, Hailemariam
Desalegn, na Rais wa Djibouti, Ismail Omar Guelleh
Share on Google Plus

About MWERA AMAZING

This is a short description in the author block about the author. You edit it by entering text in the "Biographical Info" field in the user admin panel.
    Blogger Comment

0 maoni:

Post a Comment