Mwanariadha wa Uingereza, mzaliwa wa Somalia Mo Farah,
amekariri kuwa alifanya uamuzi bora kushiriki katika mashindano kadhaa ya
barabarani kabla ya kushiriki katika mbio za London
Marathon mwezi ujao........
Farah atakimbia mbio za kilomita Ishirini na moja
mjini New York, marekani Jumapili Hii
Gebrselassie alikuwa amesema ni mapema sana kwa Farah
mwenye umri wa miaka 30 kushiriki katika mbio hizo za marathon, na badala yake
kutoa ushauri kwake kuipa mashindano ya uwanjani nafasi ya kwanza.
0 maoni:
Post a Comment